Pages

Thursday, October 25, 2012

KATIBU WA BAKWATA MKOA WA ARUSHA ANUSURIKA KIFO BAADA YA YA BOMU LA MKUONO KURUSHWA NYUMBANI KWAKE NA WATU WASIOJULIKANA USIKU WA KUAMKIA LEO




Katibu wa bakwata Mkoa wa Arusha Bw. Abdulkarimu Jonjo akiugulia maumivu katika wodi ya majeruhi ,katika hospitali ya mkoa mount Meru baada ya kulipuliwa na bomu la kutupwa na mkono akiwa amelala usingizini nyumbani kwake na watu wasiofahamika majira ya saa 6.30 usiku wa kuamkia leo. Picha na Josefu Ngilisho.


KATIBU mkuu wa Bakwata mkoani Arusha,Abdulkarim Jonjo (52) mkazi wa Esso jijini Arusha,amenusulika kufa baada ya kujeruhiwa vibaya na kulazwa katika hospital ya Mkoa Mount Meru baada ya watu wasiojulikana kumlipua kwa bomu la kurushwa kwa mkono akiwa amelala usingizini nyumbani kwake. 

Akiongea kwa taabu katika wodi ya majeruhi hospitalini hapo,Jonjo alisema kuwa tukio hilo limetokea majira ya saa 6.30 usiku akiwa amelala baada ya kuona mwanga wa cheche dirishani kwake na kufuatiwa na kishindo cha mlipuko. 

Alisema kuwa hali hiyo ilimlazimu kuinuka kitandani

KITUKO MAHAKAMANI: JUSTINE BIEBER ASHTAKIWA NA MTU ANAEDAI KUWA BABA WA GF WAKE, ETI ALIMUIBIA CREDIT CARD ILI AKUZE PEN*S YAKE”.



Katika hali ambayo inaonesha kuwa ni kituko cha mwaka, ama kichekesho flani tu ambacho obvious kinaonesha kutokuwa na ukweli, mtu mmoja ambae anadai kuwa ni baba mzazi wa girlfriend wa Justine Bieber mrembo Selena Gomez amefungua kesi mahakamani pande za Michgan.

Mtu huyo alifungua kesi yenye mambo mengi ya kushangaza, na pamoja na malalamiko yake pia yamewahusisha mastaa wengine wakubwa, haya ni kati ya malalamiko ya mtu huyo.

…“Bieber alinikopa $ 426.78 na hajawahi kunirudishia. Hizi pesa zilitumika kwa ajili ya kufanya abortion kwa sababu Justine Bieber alimpa binti yangu ujauzito kwenye chumba changu.”

…“Usher Raymond alikuja nyumbani kwangu tarehe 4, july 2012 na akaniingilia kinyume na maumbile na firework na akaiwasha in my anal area wakati huo anapiga makelele na wimbo wa Kate Perry Firework kwenye ngoma ya masikio yangu.”

…“Bieber aliiba credit card kwa ajili ya kununua cocaine kwa ajili yake na Sean P-ditty Combs.” Duh hapa alimaanisha P-Diddy, it’s funny heh!!!

….“Bieber pia alifanya pen*s enlargement kwa credit card yangu aina ya  ‘American express’.”

Lakini pia eti Bieber alimcheat binti yake na kutoka na Rihanna, Kisha na Penelope Cruz.

Hata hivyo mwisho wa malalamiko hayo akamaliza kuwa… “I’m an emotional mess…marekani inabidi isimamishe biashara ya muziki wa Bieber.”

Document ya kesi hii imenaswa na mtandao wa TMZ na hii ni document ambayo ni ya ajabu na ina malalamiko yasiyo ya kweli hata kwa kuyasikia tu, na inawezekana hayajawahi kutokea mahakamani hapo.

Kwa hiyo TMZ iliona hakukuwa na haja ya kumtafuta Bieber kumuuliza haya kwa sababu ni obvious ni uongo mtupu.

 




Wazazi tuwe makini na wasichana wa kazi

JUKUMU la malezi kwa watoto katika familia linawahusu wazazi wote wawili. Tofauti na ilivyokuwa huko nyuma siku hizi wazazi wote wawili wanapaswa kutafuta kwa ajili ya kusaidia familia. Mabadiliko hayo yamekuja baada ya hali ya maisha kuwa ngumu na kila mtu kuona hakuna sababu ya mmoja kubaki nyumbani.

Kila mzazi ana taratibu zake katika suala zima la malezi katika familia. Ingawa sote tunafahamu kuwa hakuna mzazi anayetegemea kumpotosha mtoto wake hata siku moja.

Wazazi wamekua wakiishi kwa imani na wasichana wa kazi na kweli baadhi ya wasichana wamekuwa wazuri katika jukumu la kulea watoto pamoja na familia kwa ujumla. Wamekuwa ni msaada mkubwa katika familia husika na pengine kubeba majukukumu makubwa kuliko ilivyotegemewa.

Baadhi ya wasichana wa kazi wamekuwa wakijitolea kulea familia iliyoachwa pengine na wazazi wote wawili na kubaki kwa upendo tu kulea familia isiyo yake.

Katika msafara wa mamba na kenge hawakosi, baadhi ya wasichana wa kazi wamekuwa hawako kama ambavyo mtu yeyote angetegemea, wamekuwa si walezi wazuri wawapo na watoto majumbani.

Hasa muda ambao wazazi wanakuwa wako katika kazi zao hawajui nini kinaendelea nyuma yao.

Kutikana na hali hii, kama mzazi unapaswa kuwa mwangalifu unapotaka kuishi na msichana wa kazi. Wanawake wengi wamekuwa wakihofia ndoa zao tu wawapo na wasichana wa kazi na kusahau suala la watoto kwamba wanalelewa namna gani wao wawapo katika shughuli zao.

Husahau kabisa kuhusu jukumu la wao kuchunguza mienendo ya watoto kwa sababu wanafika jioni wamechoka kutokana na majukumu waliyonayo. Wanachojali ni watoto wamekula, wamevaa na ni wazima kiafya. Wanasahau kuwa karibu na watoto wao ili kujua nini kina wasibu.

Je, watoto wanampenda dada yao au wana mchukia? Au dada anawachukia watoto? Hivi ni vitu vidogo vidogo ninavyovizungumzia hapa lakini vinaweza kugharimu maisha ya watoto wetu huko mbeleni na usijue tatizo lilianzia wapi.

Mabinti watokapo vjijini kuja kufanya kazi mijini, huiga aina ya maisha ya mjini kwa sababu baadhi wanaamini kila kinachofanyika mjini ni kizuri wakati wowote. Nina mfano hai na ndio ulionivuta niandike kuhusu wasichana wa kazi.

Nilikuwa mgeni mahali fulani ambapo mimi niliongozana na bosi wa dada wa kazi, baada ya kufika kwake akamwambia msichana wake atafute mkanda mzuri wa kuangalia (CD).

Yule binti kwa kuwa alikuwa na shughuli nyingine anafanya akamtuma mtoto wa huyo bosi wake ambaye hushinda naye nyumbani akatafute. Lakini badala yake mtoto akaongoza kule kwenye CD inayomfurahisha zaidi bila dada kujua.

Nilishangazwa kuona mtoto analeta picha za ngono. Alifanya hivyo kwa kuwa picha hiyo ndio inayomvutia.

Alipoleta ile picha akasema; “hii ndio CD nzuri mama tuangalie hii ni nzuri sana mama.” Mama akabaki amepigwa na butwaa asijue la kufanya. Fikiria huyu mtoto ana miaka minne wewe kama mzazi unategemea msipokuwapo mchana kitu gani kinaendelea nyuma yenu?

Alipohojiwa binti akasema; “nimeazima kibandani ili niangalie.” Lakini kwanini aangalie na mtoto asiangalie mwenyewe hana la kujibu anabaki kuuma uma meno.

Wazazi uliyempa jukumu la kukulelea watoto hivi unadhani ni sahihi hali ya ugumu wa maisha ndio inayotufanya tushindwe kuwa karibu na watoto wetu mara turudipo nyumbani?

Mtoto anayengalia picha za iana hiyo ni mdogo sana, hivyo chochote anachokiona yeye kwake ni sahihi, hajui baya wala zuri.

Hili jambo unalibebaje kifuani kama mzazi na ni namna gani ulitatue ili mtoto akili yake ikae sawa kwa sababu msichana wa kazi hakuona kama ni tatizo kuangalia ile picha na mtoto. Licha ya kwamba umri wa dada huyu haukustahili kuangalia picha za aina hiyo.

Wazazi wapaswa sasa kutenga muda wa kufuatilia kwa ukaribu mambo yanayofanywa na wasichana wao wa kazi.

Kisa hiki kilinisikitisha sana na kujikuta nikitamanio kuwaasa wazazi kuwa karibu na binti zao ili kufahamu wanafanya nini pindi wanapokuwa kazini.

Kama hatutakuwa karibu na watoto wetu ni dhahiri kwamba tutawafanya wakose na maadili mema, kwani tumeshuhudia wazazi wengi ambao watoto wao wamekuwa wakipoteza mwilekeo kwa kukosa malezi bora ya mama na baba.

Toa Maoni yako kwa habari hii










Ray C In Trouble Again?


According to The Kenyan Daily Post, controversial Tanzanian musician Ray C (full name Rehema Chalamila) has been admitted to rehab.

She showed an interest in singing at an early age, she spent her childhood between Dar Es Salaam and Uganda. Ray C first came to public attention as a radio DJ on Dar Es Salaam radio station Clouds FM. She took vocal and belly-dancing lessons and released her first album 'Mapenzi Yangu' in 2003.

The album was a success in her native Tanzania, but it was the release of her sophomore attempt 'Na Wewe Milele' the following year that shot her to fame across East Africa.

On the back of the success of her second album, Ray C won Kilimanjaro and Kisima Music Awards as well as booking a raft of corporate performances. She released her third album, the self-titled Ray C in 2007.  At the height of her success a sex tape featuring the Taarab and Bongo Flava star was released, but the singer and dancer took it in stride.  Since the further nude images of Ray C have surfaced on the internet, but do not seem to have affected her popularity.

Ray C has performed globally, with appearances in The UK, The US, Germany, Sweden, China, Uganda, Nigeria, India, South Africa and Kenya. 

The artist has recently returned a year spent in Kenya, where her music has been popular after she featured on a track called Moto Moto with Kenyan star French Boy. While in Kenya she continued to find herself mired in controversy, after making accusations against Kenyan promoter Sadat Muhindi and launching a tirade against Kenyan editor, Charles Otieno

Tuesday, October 23, 2012

Obama calls Romney ‘all over the map’ in foreign policy debate





President Barack Obama portrayed rival Gov. Mitt Romney as "all over the map" and inexperienced on key national security issues in the third and final debate of the presidential election Monday night in Boca Raton, Fla. Each candidate attempted to paint the other as an untrustworthy commander in chief, but Romney's performance was less aggressive than Obama's, and the governor was often on defense in the 90-minute exchange.

"I know you haven't been in a position to actually execute foreign policy—but every time you've offered an opinion, you've been wrong," Obama said, referencing Romney's initial support for the Iraq war.
The president in general was harshly critical of Romney, and landed a few well-placed zingers. "The Cold War's been over for 20 years," he said in response to Romney's comment from several months ago that Russia is America's primary geopolitical foe.

He later said, "Well, Governor, we also have fewer horses and bayonets," in response to Romney's criticism that America has fewer Navy ships than in the past. "We have these things called aircraft carriers, where planes land on them. We have these ships that go underwater, nuclear submarines," the president added, a touch of mockery entering his voice.

Romney frequently pivoted to domestic issues and the economy, including the high number of Americans in poverty, his education record in Massachusetts, and his plans for reducing the deficit and creating jobs.
On foreign policy, Romney did not criticize how Obama handled the murder of U.S. Ambassador Chris Stevens in Libya, a topic he brought up in last week's town hall-style debate. Instead, Romney said the Middle East is in "tumult" and "chaos," and suggested Obama's strategy of killing Al Qaeda leaders in drone strikes is not enough to bring stability to the region.

"We can't kill our way out of this mess," Romney said. "We're going to have to put in place a very comprehensive and robust strategy to help the ... world of Islam and other parts of the world reject this radical violent extremism, which certainly [is] not on the run."

Romney also slammed Obama for what he called his "apology tour" in the Middle East, which he said projected weakness abroad. "The president began what I've called an apology tour of going to nations in the Middle East and criticizing America. I think they looked at that and saw weakness," Romney said. Obama called this a "whopper" and criticized Romney for fundraising on his trip to Israel. "When I went to Israel as a candidate, I didn't take donors," Obama said. "I didn't attend fundraisers. I went to Yad Vashem, the Holocaust museum there, to remind myself of the nature of evil and why our bond with Israel will be unbreakable."

Despite the crossfire, the candidates seemed to agree on many key foreign-policy issues, including the use of drone strikes to kill people believed to be terrorists, harsh sanctions on Iran (though Romney said the sanctions should be even stricter), and a strategy of avoiding military involvement in Syria.

After Romney seemed to avoid specifics on how he would handle Syria's civil war differently from Obama, the president retorted: "What you've just heard Gov. Romney say is that he doesn't have different ideas."
Obama and Romney are statistically tied among voters in the most recent polls, with Romney able to catch up with the president on the strength of his performance in the first debate in Denver. On foreign policy in particular,

Obama's lead over Romney, in the double digits only a few months ago, has shrunk to just four points, Americans considered President Obama the loser in the first debate in Denver by historic margins, and Romney's poll numbers soared after his strong performance there. When the candidates met for a rematch at Hofstra University on Long Island last week, a much more assertive Obama showed up, and snap polls showed he was considered a narrow winner of the night.

It remains to be seen if this debate will provide a "bounce" for either candidate in the last few weeks of the campaign. Voters overwhelmingly say the economy and jobs are the most important issues for them in this election.
 

Friday, October 19, 2012

ZITTO KABWE AFUNGUKA

" Hakuna uhalali wowote wa kuendelea na vitendo vya uvunjifu wa sheria na amani kwa visingizio vya dini au siasa. Taifa letu linafuata mfumo wa 'secularism' na yeyote anayetaka kutupeleka kwenye kuanza kuangaliana kwa misingi ya dini zetu lazima tumwambie hapana. Vyombo vya dola vimekuwa laini mno kushughulikia masuala yenye 'sentimenti' za kidini. Lazima Dola ionekane ipo na hatua kuchukuliwa. Masuala yanayoendelea Zanzibar na Dar es Salaam yanapaswa kulaaniwa na kila Mtanzania maana yanayofanyika sio Utanzania"

Thursday, October 18, 2012

WAKAZI WA MBEYA WAINGIWA NA HOFU BAADA YA NDEGE ZA KIVITA KUPITA KATIKA ANGA LA JIJI LA MBEYA


Ndege kama hii zikiwa mbili zimeonekana kwenye anga la jiji la Mbeya huku zikipita kwa kasi wakazi wa jiji la Mbeya waingiwa na hofu kubwa wakidhani ndio mambo ya Malawi yameivaaaaa............!kutokana na mvutano uliopo wa nchi hizi mbili kuingia kwenye vita ya mpaka wa ziwa nyasa

Meneja wa viwanja vya Ndege Mbeya EZEKIEL MWALUTENDE ameuambia mtandao huu kuwa kinachofanyika sasa ni mazoezi ya ndege kwenye uwanja huo na kusema kuwa pamoja na ndege za kivita pia zipo ndege za abiria 5 ambapo zoezi hilo linatarajia kukamilika Jumanne wiki ijayo.

Ndege ya kwanza kutua katika Uwanja Wa Ndege Wa Kimataifa Wa Songwe mkoani Mbeya Jumapili Julai 22 2012, ilikuwa ndege aina ya Forker 28 ambayo alikuwemo Rais Jakaya Kikwete na msafara wa watu wengine 31.
Uwanja huo ambao aujakamilika na kudaiwa kuwa matengenezo yake yamefikia asilimia 95 tu bado aujaanza kutumika rasmi.
Baada ya kutua kwenye uwanja huo majira ya saa tano na dk 15 , rubani wa ndege hiyo, Kapteni Dominick Boman, akiongozwa na Meneja wa Uwanja wa ndege wa Mbeya ilipotua, Valentine Kadeha, aliusifia kuwa una sifa zote za kurusha ndege kubwa zinazobeba abiria na kuhoji kwa nini haujaanza kutumika.
“Uwanja ni mzuri sana, sehemu ya kurukia ndege ni pana na uwanja ni mrefu hakika wananchi wana kila sababu ya kuufurahia, sijui kipi kinakwamisha kuanza kutumika kwa abiria labda vituo vya mafuta havijajengwa, suala la sehemu ya kushukia abiria si tatizo; marubani tunahitaji uwanja mzuri,” alisema Bomani.